iqna

IQNA

Tuan Guru
Turathi ya Uislamu
CAPE TOWN (IQNA) – Msahafu (Nakala ya Qur'ani Tukufu) kongwe zaidi nchini Afrika Kusini, ambayo imehifadhiwa katika eneo salama katika Msikiti wa Auwal wa Cape Town, ni hazina ya thamani kwa Waislamu wanaoithamini kama sehemu ya urithi wao tajiri.
Habari ID: 3477493    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25